Saturday, 3 January 2015

MADEREVA WAWILI WA MABASI YA MASAFA MAREFU AMBAO NI "CHAPOMBE" WAKAMATWA NA POLISI SINGIDA


MADEREVA wawili wa mabasi ya masafa marefu wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Singida baada ya kugundulika kutumia pombe wakati wakiwa kazini. Kamishina Msaidizi wa polisi kutoka Makao Makuu Kitengo cha elimu kwa umma Usalama Barabarani, Abel Swai alisema kuwa madereva hao wawili walinaswa wakati wa kupima madereva wa mabasi watumiaji wa pombe wakiwa barabarani mjini hapa juzi. Alisema pia wamekuwa wakikagua madereva wanaotumia vyombo vya moto, watembea kwa miguu na wasukuma matoroli ili kuona kuwa wanazingatia kikamilifu sheria zote za usalama barabarani bila shuruti. “Iwapo...

No comments:

Post a Comment