Thursday, 8 January 2015

TAMBUA JINSI YA KUMTEKA MWANAMKE


 Mapenzi ya sasa yamejawa na
tamaa sana ya pesa kwa hiyo
hizi ndizo stage za kumteka
mwanamke step 1: Kumpa 
vizawadi kila ifikapo
wikieni,ukiwa hivyo


utasababisha mpenzi wako
hakuamini xana step 2 : kumtoa
out ifikapo wikiend,hii ni hatua
nzuri ya kumfanya mpenzi
wako ajione mwenye bahati ya
pekee sana step 3 : kumpa
maneno matamu na
malaini,mwanaume
ukimwambia mwanamke
maneno matamu xana
hatajiona mwenye amani ktk
moyo

No comments:

Post a Comment